Je, unataka kuingia au kujiunga kwenye Facebook?
Ili kuunda akaunti ya Facebook
Kidokezo: Ni lazima uwe na angalau umri wa miaka 13 ili kuunda akaunti ya Facebook.
Ili kuunda akaunti ya Facebook
  1. Nenda kwenye facebook.com/r.php.
  2. Weka jina lako unalotumia katika maisha ya kila siku.
  3. Tarehe ya kuzaliwa kwako.
  4. Ingiza nambari yako ya simu ya mkononi. Ili kutumia anwani ya barua pepe badala yake, donoa Jisajili kwa kutumia anwani ya barua pepe.
  5. Donoa Kike, Kiume au Maalum ili uteue jinsia yako.
  6. Chagua nenosiri na udonoe Jisajili.
Ili kukamilisha kuunda akaunti yako, unahitaji kuthibitisha anwani ya barua pepe au nambari yako ya simu ya mkononi.
Ikiwa unapitia tatizo kuingia
Kiswahili
+
Meta © 2025